Diego Costa apewa kadi nyekundu




#LaLiga Mpira umekwisha, huku Diego Costa akirejea kwenye klabu yake ya zamani kwa bao na kadi nyekundu ukiwa ni mchezo wake wa kwanza tangu aachane na Chelsea.

FT: Atletico Madrid 2-0 Getafe.

Mechi inayofuata ni Valencia vs Girona kuanzia saa 12:30 LIVE #AzamSportsHD.



Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post