Dodoma Yatajwa Kuongoza Kwa Ugonjwa wa Kipindupindu


Dodoma imetajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa kipindupindu. Kati ya wagonjwa 1,448 wa nchi nzima, 583 wamepatikana mkoani humo
-
Ruvuma imeshika namba 2 kwa kuwa na kesi 374 sawa na 25%, Rukwa na Iringa ikiwa na kesi 276 sawa na 19%.
-
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee imeeleza kuwa Mkoa Manyara ndio wenye idadi ndogo ya wagonjwa wa kipindupindu. Kesi zilizoripotiwa ni asilimia 0.6 tu ya wagonjwa wote nchini

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post