Wema Sepetu: Mimi na Aunt Ezekieli Tunapendana Hakuna wa Kutugombanisha



MKALI wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu amelifungukia Ijumaa Wikienda kuwa, hakuna mtu wa kum-gombanisha na staa mwenzake, Aunt Ezekiel kwa kuwa wanapendana.




Katika mahojiano maalum na gazeti hili, Wema ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita alitupia picha karibia kumi kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram akiwa na Aunt alisema kuwa, mara kwa mara wamekuwa wakigombana, lakini siyo kwamba hawapendani.

“Hakuna wa kunigombanisha na Aunt. Kama tunagombana, mtu wa pembeni anatakiwa kukaa kimya maana tukipatana mambo yanakuwa ni moto,” alisema Wema.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post