Wakfu wa kutoa tuzo za Nelson Mandela wakanusha kutoa Tuzo 27 December 2017


Wakfu wa Nelson Mandela umebainisha kuwa haukuandaa, kusimamia wala kutoa tuzo za “Nelson Mandela”, ambazo zimeripotiwa katika vyombo mbalimbali ya habari Tanzania, Kenya na Burundi Disemba 27, 2017. Habari hiyo pia haikutajwa na vyombo vya habari nchini Afrika Kusini. 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post