Hali ya Samata Yaanza Kuimarika Aanza Mazoezi ya Kutembea

Hali ya Samata Yaanza Kuimarika Aanza Mazoezi ya Kutembea



Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta ameanza kuonekana akifanya mazoezi mepesimepesi ya kutembea kwa kutumia fimbo maalum.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta

Samatta kwanyakati tofauti ameonekana akiwa na fimbo zinazomsaidia kutembea huku goti lake la mguu wa kulia likionekana kufungwa bandeji.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post