VIDEO:YANGA: AUCHO HADI BARCELONA WALIMTAKA KUMPA MKATABA, MANARA ANAWACHANGANYA
byAdmin-
0
SHABIKI mtata wa Yanga amebainisha kuwa nyota wao mpya Khalid Aucho alikuwa anahitajika na timu ya Barcelona ila GSM walimpandia dau. Pia wameongeza kuwa Haji Manara aliyekuwa Ofisa Habari wa Yanga amewachanganya Wanasimba.