VIDEO: Haji Manara Amlipua Zahera/ Awakejeli Yanga "Tulieni Dawa iwaingie"


Msemaji wa klabu ya soka ya Simba SC, Haji Manara,  ameonekana kukubaliana na maamuzi ya Yanga kumfukuza kocha wao Mwinyi Zahera, pia amewakejeli watani zao hao kwa kuwaambia watulie dawa iwaingie.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.


Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post