Breaking News: Wema Sepetu afungiwa kuigiza maisha!!!

Hii Hapa Taarifa Rasmi Ya Bodi ya Filamu Kumfungia Wema Sepetu Kujihusisha na Filamu
Serikali  kupitia Bodi ya Filamu Tanzania leo, Oktoba 26, 2018 imemfungia staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na kumtaka asijihusishe na shughuli za filamu kwa muda usiojulikana, ni baada ya picha zake chafu  akiwa na bwana yake raia wa Burundi kusambaa mitandaoni.


Install Application ya Udaku Special Uweze Pata Habari Kama Hizi Kirahisi Zaidi

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post