![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOW2cQryD2z6_6P8BtmJzdDXc3_X50J8dSe8RG8Ao3mJEQYdtBOIaQaYm0Ots5gtJgL-YSLjQ5OPf9r6hdBT7YgCOK48SdYq_Z2nGA2OzHbbXylJCM1uvZ463UQnBgIc37aWvLfaoqAGW6/s1600/yaimani.jpg)
Sheikh maarufu hapa nchini Hilali Shaweji Makarani maarufu kama Sheikh Kipozeo hatimaye ametambulishwa rasmi Wasafi TV kuwa ndiye atakayeongozwa mafundisho yanayohusu mwezi huu mtukufu wa ramadhani .
Sheikh huyu amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kuwasilisha mada bila kuchosha watu wanaomsikiliza
Tags
kitaifa