Sheikh Kipozeo Atambulishwa Rasmi WCB



Sheikh maarufu hapa nchini Hilali Shaweji Makarani maarufu kama Sheikh Kipozeo hatimaye ametambulishwa rasmi Wasafi TV kuwa ndiye atakayeongozwa mafundisho yanayohusu mwezi huu mtukufu wa ramadhani .

Sheikh huyu amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kuwasilisha mada bila kuchosha watu wanaomsikiliza 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post