ROMA MKATOLIKI afungiwa kufanya Muziki

Baraza la Sanaa(BASATA) limemfungia Msanii Roma Mkatoliki kujihusisha na sanaa kwa kipindi cha miezi 6 kwa kutotii agizo la Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

-Wizara ilimtaka Msanii huyo abadili maudhui ya wimbo wake wa Kibamia

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post