SIKU YA PILI: RC Makonda kwenye Meli ya Wachina inayotoa matibabu bure



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, leo Nov 21, 2017 amezungumza na waandishi wa habari kuhusu huduma za afya bure zinazotolewa kwa madaktari bingwa kutoka nchini China zinazotolewa ndani ya meli yao.
Ayo TV MAGAZETI: Watu wagonjwa, CHADEMA yaonya msafara Nyalandu kupigwa mabomu

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post