Mama Kanumba aangua kilio baada ya Lulu kuhukumiwa na kuongea yafuatayo

 

Mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” leo amehukumiwa na Mahakama Kuu ya Tanzania kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia na kusababisha kifo cha Mwigizaji Steven Kanumba.
Baada ya Hukumu hiyo kutolewa Mama Mzazi wa Marehemu Kanumba aliangua kilio na kuongea yafuatayo >>> “Namshukuru Mwenyenzi Mungu, naishukuru Mahakama imetenda haki, naishukuru Serikali yangu awamu ya tano
Kalale salama mwanangu Steven Kanumba na nikitoka hapa nakwenda makaburini naamini nakwenda kumzika akapumzike kwa amani” – Mama Kanumba

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post