Jengo la TANESCO Ubungo Maji kubomolewa mchana huu

UBUNGO, DAR: Rais Magufuli ameagiza kubomolewa kwa jengo la Makao Makuu ya TANESCO pamoja majengo ya Wizara ya Maji ili kupisha mradi wa Fly Over.

- Ameagiza kuwa majengo hayo yawekewe alama ya X kisha yabomolewe.

Picha kwa hisani ya Azam Tv

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post