Shamsa Ford "Sitaki Kuendelea Kufanya Zinaa Nipo Tayari Kuolewa Tena"

 



Kutoka kwenye Ukurasa wa Instagram wa Muigizaji wa Filamu Nchini @shamsaford Ameweka Wazi kuwa kwa Sasa yupo Tayari kuingia kwenye Maisha ya Ndoa na Kusema kuwa kwa Sasa akili yake imetulia na Ameshapata elimu ya kutosha toka Atoke kwenye Ndoa yake Miaka 3 iliyopita Ambapo alifunga ndoa na Mfanyabiashara @chiddimapenzi
Kupitia ukurasa wa Instagram Ameandika...

"Tangu nimetoka kwenye ndoa ni miaka 3 sasa.Nimejipa muda wa kutosha na kupata elimu kubwa juu ya mahusiano.Sasa Hivi akili yangu imetulia nipo teyali kuolewa tena inshaaallah .Sitaki kuendelea kufanya zinaa mm ni binadamu sijui mwisho wangu ni upi



nshaaallah Mwenyezi Mungu unipe mume mwenye kheri na mm atayenipenda ,kunithamini na kunitunza..Mume atayempenda mwanangu na atayesimama kuwa baba bora kwa mwanangu Maana kila napokwenda nipo naye😭🙏"

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post