Manyara: Aua Mtoto wa Kaka na Kupika Maini Yake

 


Jeshi la Polisi linamshikilia Harold Hando, kwa tuhuma za kumuua Mtoto wa Kaka yake, Emmanuela Hando (13) kisha kumtoa viungo vya mwili.

Inadaiwa Hando alimuua Mtoto huyo kwa kumpasua katikati ya Miguu na kumtenganisha vipande viwili kisha kumtoa maini na kutaka kuyapika ili ayale.

Imeelezwa chanzo cha tukio hilo ni ushirikina, kwani Hando ametoa maelezo kwamba aliambiwa na Mungu wake amuue Mtoto wa kaka yake na kula maini, ili avune mazao mengi.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post