TANZIA: BABU WA LOLIONDO AFARIKI DUNIA

 


Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Digodigo

Babu wa Loliondo inadaiwa aliugua muda mrefu na akawa akijitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali leo saa sita alikuwa amechelewa, akafariki saa nane

Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post