Lema Anena Maneno Mazito kwa Jeshi la Polisi


Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameandika katika ukurasa wake wa Twitter “Kazi ya Polisi ni kazi zenye heshima ni kazi ya kujitolea kwa ajili ya wengine,” 

“Sura hii imepotea na kuna chuki kubwa ambayo ni hatari kwa ustawi wa nchi. Matukio dhidi ya raia yanaleta wasi wasi katika nchi. Kiongozi anayejali nchi hapaswi kuwa kipofu na asiweze kuona mambo haya” -ameandika Lema 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post