PICHA: Liverpool walivyosherehekea Ubingwa wa EPL 2019/20

Club ya Liverpool baada ya mchezo wao dhidi ya Chelsea uliyomalizika kwa wao kupata ushindi wa 5-3 katika uwanja wao wa Anfield, walikabidhiwa Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu England 2019/20.

2 Comments

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post