Bilionea Laizer Afanya Sherehe Kubwa ya Kuuaga Umaskini, Waalikwa Wamekula na Kuvimbiwa


Bilionea wetu leo kafanya sherehe kubwa ya kuuaga umaskini na wanakijiji, pamoja na waalikwa wengine wamekula, ambapo ng’ombe sita zimeanguka na mbuzi kumi

Waandishi wa habari wa millard na Global wamebeba wali kwenye mashati ya na kusahau vipaza sauti ambavo vimetunzwa kwa mwenyekiti wa kijiji.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post