HomeMICHEZO KIMATAIFA Man United yamlipa Mourinho Tsh bilioni 45 byAdmin -11 January 0 Imeripotiwa kuwa Manchester United ilimlipa fidia ya £15m zaidi ya shilingi Bilioni 44 kocha Jose Mourinho, baada ya kumfuta kazi Disemba 18, 2018. Mkataba wake katika timu hiyo ulikuwa unamalizika msimu wa 2019/20. Tags MICHEZO KIMATAIFA Facebook Twitter