Man United yamlipa Mourinho Tsh bilioni 45


Imeripotiwa kuwa Manchester United ilimlipa fidia ya £15m zaidi ya shilingi Bilioni 44 kocha Jose Mourinho, baada ya kumfuta kazi Disemba 18, 2018. Mkataba wake katika timu hiyo ulikuwa unamalizika msimu wa 2019/20.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post