Ninajisikia vizuri kwa sasa-Mo Salah



"Ninajisikia vizuri kwa sasa, nahisi nipo tayari kucheza mechi yetu ya ufunguzi kwenye Kombe la Dunia dhidi ya Uruguay na nina amini nitacheza vizuri na kuisaidia timu yangu"- Mo Salah akimwambia Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sisi.
Nini maoni yako? Weka Comment hapo chini kabisa.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post