Tafrani Baada ya Dawa za Kikohozi Kukutwa na ‘Dawa ya Kulevya’ Nigeria


Kampuni nne za dawa nchini Nigeria zimevamiwa kutokana na kuhusika na kuuza dawa za kikohozi ambazo zina dawa ya kulevya aina ya codeine. 

Kuvamiwa kwa kampuni hizo kunatokana na uchunguzi uliofanywa na Shirika la Utangazaji la BBC na kugundua kuwa dawa hizo zina kilevi hicho cha codeine na kufanya vijana kuzinywa kwa wingi kama dawa wanavyotumia dawa za kulevya. 

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini humo imeeleza kuwa kampuni hizo ziko kwenye miji ya Lagos, Ilorin na Kano nchini humo. Serikali ya nchi hiyo zimepiga marufuku uzalishwaji na uingizwaji wa dawa hizo kutoka nje ya nchi. 

Imegundulika kuwa dawa hizo zimekuwa zikiuzwa kihalifu ili vijana wazitumie kama kilevi

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post