Mapokezi ya Serengeti Boys baada ya kuwasili Tanzania na Kombe

Timu ya taifa ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys, alfajiri ya May 1 2018 iliwasili Tanzania ikitokea Burundi ilipokuwa inashiriki michuano ya CECAFA U-17 kwa mwaka 2018

Serengeti Boys ambao wametwaa taji la michuano hiyo kwa kuifunga Somalia kwa magoli 2-0 na kutwaa taji hilo, walipokelewa na watu mbalimbali akiwemo waziri wa habari, utamaduni na michezo Dr Harrison Mwakyembe nae alijitokeza kuwapokea.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post