Yanga yafuzu michuano ya CAF baada ya kutoka suluhu ya 1-1

#CCL Yanga inafanikiwa kusonga mbele katika michuano ya   #KlabuBingwaAfrika kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1, baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa marudiano uliopigwa leo nchini Ushelisheli.

Mechi ilikuwa LIVE #AzamSports2

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post