UPDATE: Jeshi la Polisi limewaachia huru Viongozi 7 wa CHADEMA kwa dhamana

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaachia kwa dhamana viongozi waandamizi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA walioitikia wito uliotolewa na jeshi la polisi.

-Viongozi hao wametakiwa kufika kituoni hapo jamanne wiki ijayo saa nne asubuhi.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post