KISUTU: Makada 3 wa CHADEMA wafikishwa Mahakamani leo

KISUTU, DAR: Wafuasi 3 wa CHADEMA waliojeruhiwa kwa risasi wakati Polisi wakitawanya waandamanaji Kinondoni wafikishwa Mahakamani.

> Makada hao ni Aida Olomi, Issack lomanus Ngaga na Erick John waliokuwa wakishikiliwa katika kituo cha Polisi Oysterbay

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post