Kenya imepokea mwaliko kutoka Marekani kuhudhuria hafla ya kuwashukuru kwa kuendeleza urafiki itakayofanyika Januari 13, 2018
> Ni baada ya kupiga Kura ya kuunga mkono uamuzi wa Rais Donald Trump kuutambua Jerusalem kuwa Mji Mkuu wa Israel
Soma https://t.co/0bwKOPISO3
#JFLeo