Tindu Lissu: Madaktari wangu wamesema nitasimama tena na Kurudi Nyumbani Tanzania.

Baada ya kuhojiwa leo mchana kuhusu afya yake na kituo cha Habari cha DW Mh. TUNDU LISSU alijibu Madaktari wangu wameniambia ntakua fiti, nitasimama, nitatembea na nitarudi  Tanzania"


Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post