Mohamed Salah ashinda tuzo ya Mwanasoka bora wa Afrika


Mchezaji wa timu ya taifa ya Misri Mohammed Salah jana jioni alitanganzwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na shirika la habari la kimataifa la BBC, Mo Salah ambaye ni mchezaji wa Misri aliingia katika kinyang'anyiro hiki kati ya wachezaji watano waliekuwa wakiwania tuzo hiyo ya Mwanasoka bora wa Afrika 2016/2017


Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post