Mwanafunzi wa Sekondari akamatwa akiwa na sare za JWTZ Dar
byAdmin-
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Said Suleiman (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Fahari iliyoko Goba kwa kukutwa na sare za jeshi na kujifanya ni askari wa JWTZ.