MAREKANI: Mahakama Kuu yaidhinisha zuio la serikali ya Rais Trump la kutoruhusu raia kutoka nchi sita (6) za kiislamu kuingia nchini Marekani. Raia wa nchi za Chad, Iran, Libya, Somalia, Syria na Yemen wataathirika na maamuzi haya. #KwanzaHabari
Tags
Kimataifa