Morogoro: Mwanamke mmoja ajifungua watoto 4 kwa mpigo




Mwanamke Mmoja kutoka wilaya ya Msamvu B mkoani morogoro mwenye umri wa miaka 27 mchana wa leo amejifungua vichanga wa 4 kwa wakati mmoja ikiwa ni jambo la ajabu sana kiwahi kutokea katika hospitali hiyo. Nini maoni yako katika habari hii??

Mama wa vichanga 4.. aliye na umri wa miaka 27

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post