Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Prof Jay. Je una lipi la kumwambia?

NI MWAKA MWINGINE TENA Kwangu, Asante sana Mwenyezi Mungu mwingi wa REHEMA, Kwa Pumzi, ulinzi, Baraka na Neema zako, Hakika huu ni upendeleo mkubwa sana kwangu Naendelea kukuahidi kuwa Nitaishi na kulitangaza Jina na Utukufu wako Siku zote za Maisha yangu,
HAPPY BIRTHDAY TO ME🙏 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post