Faida ya Kufanya Mazoezi ya Kutembea



Suala la mazoezi kwa karne ya sasa ni a maisha ya watu  kila siku, hii ni kutokana na  kuwa mazoezi ni kitu muhinu sana katika  maisha ya binadamu ili ajilinde na  magonjwa nyemelezi.



Zipo faida nyingi za kufanya mazoezi ila hizi ni chache kwa mazoezi ya kutembea.

1. Mazoezi ya kutembea husaidia kupunguza uzito wa mtu. Sio vibaya ukitembea kwa dk 60(sawa saa 1) kila siku, Unaweza ukaamua utembee mchana ana jioni.

2. Mazoezi ya kutembea husaidia kupunguza mafuta mwilini. Kitendo cha kutembea kinahusisha mwili mzima na baadhi ya viungo vya binadamu hivyo husaidia kutoa mafuta katika mwili.

3. Vile vile mazoezi ya kutembea huwa ni msaada mkubwa kwa watu walio na tatizo la shinikizo la damu.

4. Zoezi la kutembea kwa miguu husaidia kupunguza msongo wa mawazo(stress). Endapo unakuwa na mawzo ukitumia mazoezi haya husaidi kupunguza hii ni kutokana na kuwa mazoezi haya yanakupa nafasi ya kutazama vitu kadhaa njiani na pia aakili inakuwa inapata mawzo mapya.

Zipo faida byingi za mazoezi haya ila tumia dakka 60 kila siku kwa kuafanya mazoezi ya kutembea kwani kutasaidia mambo kadhaa ikiwemo kuimarisha mifupa.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post