Diwani wa CCM ashikiliwa na Jeshi la Polisi Mwanza
byAdmin-
0
MISUNGWI, MWANZA: Diwani wa Kata ya Mabuki, Nicodemas Ihano (CCM) na Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwanangwa Faustine Malago (CCM), wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuharibu na kuiba mali za mwekezaji
#JFLeo