Kaburi la Ajabu huko Ireland

Jamaa mmoja nchini Ireland ameamua kujaribu maisha ya kifo kwa kuwekwa kwenye jeneza na kufukiwa huku akipatiwa msaada wa hewa na chakula. Nia yake ni kutaka kuwapa moyo watu waliokata tamaa ili wasiogope kufa

Je huu ni ujasiri au ujinga ?

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post