TANZIA: Mwalim Alex Kashasha Afariki Dunia

 


Mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha amefariki dunia leo Agosti 19, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospital ya Kairuki Mkoani Dar es salaam.

Habari Kamili zitakujia hivi punde.

<<<<BOFYA HAPA KUPAKUA APP YETU ILI KUPATA HABARI KWA URAHISI>>>>

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post