Beno Kakolanya Ajiunga Rasmi na Kikosi cha Simba

Image result for beno kakolanya simba

UONGOZI wa Simba leo umemtangaza aliyekuwa mlinda mlango wa Yanga Beno Kakolanya kujiunga na kikosi hicho msimu ujao kwa kumpa kandarasi ya miaka miwili.

Kakolanya alivunja mkataba wake na Yanga kwa kudai stahiki zake.

Simba sasa inakuwa na magolikipa watatu ambao ni pamoja na Aishi Manula na Deogratius Munishi.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post