Yasemekana Wema Sepetu Mgonjwa Sana


Kuna  video inasambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha Wema Sepetu akiwa mgonjwa na akiwa maeneo ya hospitali ,habari zinazosambaa zinasema kuwa wema sepetu amelazwa katika hospitali moja wapo huko jijini Dar Es Salaam huku sababu kubwa ikiwa bado haijajulikana kuwa ni nini.

Hivi karibuni kuna habari zilisambaa kuwa mwanadada huyo alikwenda nje ya nchi kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa kukata utumbo ili kupunguza mwili.

Taarifa zilizowahi kutolewa na mwanadada Mange Kimambi zinasema kuwa Wema Sepetu aliamua kusafiri na kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kupunguza uzito na mwili mkubwa. 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post