Snura Afunguka Kinagaubaga Kuhusu Bifu Kati yake na Shilole

 


Msanii wa muziki Bongo, Snura Mushi amefunguka kuhusu taarifa zinazodai kuwa bifu lake na Shilole bado lipo.

Muimbaji huyo amesema hakuna kitu kama hicho hata tuzo ambayo Aunt Ezekiel alitoa kwa Shilole wakati wa uzinduzi wa Filamu yake ‘Mama’ yeye ndiye alipokea.

“Sina beef hadi juzi kwa Aunt mimi sindonimempokelea zawadi, yeah, hatuna bifu na nimempelekea,” Snura ameiambia Bongo5.

Snura kwa sasa anatamba na ngoma ‘Vumbi la Mguu’ baada ya kufunika na Zungusha ambayo alimshirikisha Christian Bella.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post