Mchekeshaji Joti amezungumza na Ayo Tv na moja ya suala alilozungumzia ni pamoja na ishu ya kuvunjwa nyumba yake pamoja na kutaniana mitandaoni na mchekeshaji mwenzake Masanja je walishawhai kugombana..? Yote amezungumza hapa. PLAY hapa chini kumtazama JOTI akizungumza.
Tags
Udaku