Haji Manara Akataa Kuitwa Msemaji wa Simba " Niite Msemaji wa Mabingwa wa Nchi"

Image result for haji manara

Alhamisi ya May 10 2018 Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara club ya Dar es Salaam Young Africans walikuwa Sokoine Mbeya kucheza mchezo wao wa 25 wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Tanzania Prisons.

Yanga wakiwa Mbeya wamekubali kupoteza mchezo mbele ya Tanzania Prisons kwa magoli 2-0, hivyo kipigo hicho kimeifanya Simba kutangazwa Bingwa wa VPL msimu wa 2017/2018 wakiwa na point 65 na michezo mitatu mkononi.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post