Video: Hivi Ndivyo Alikiba Ametoa Majibu ya Harusi Yake kwa Kijaluo

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba amechukua headlines kupitia short video clips katika mtandao wa instagram baada ya kuoneka akizungumza lafudhi ya Kijaluo na wengi kujiuliza je Ali Kiba ataoa upande wa Kenya kutokana na tetesi zinazoendelea mitandaoni kuwa Ali Kiba anakaribia kuoa? 
 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post