Spika Job Ndugai Arejea Nyumbani Toka Kwenye Matibabu India

Spika wa Bunge la Jamburi ya Muungano wa Tanzania,Mh Job Ndugai akipokelewa na Mama Salma Kikwete (MB) na Wabunge wengine mara baada ya kuwasili leo akitokea nchini India kwa matibabu.

Hapa ni eneo la wageni maarufu (VIP) katika uwanja wa ndege Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).Mh.Spika amewasili alasiri ya leo,akitumia ndege ya Shirika la "Fly Emirates" # EK725.

Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai alisema Februari mwaka huu kuwa Spika Ndugai yupo India kwa ajili ya kuangalia afya yake (check-up).

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post