PICHA: Lowassa, Sumaye, Prof. Safari walivyofika Mahakamani Kushuhudia Kesi ya Akina Mbowe


Mawaziri wakuu wastaafu Edward Lowassa na Fredrick Sumaye amehudhuria katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kufuatilia hatma ya kesi ya viongozi 6 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kama watapata dhamana au wataendelea kusota rumande.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post