Homekitaifa TRA kusajili walipa kodi wapya laki moja byAdmin -03 January 0 TRA imesema kuwa, inatarajia kusajili walipakodi wapya takribani 1000,000, ambao kwa pamoja wanakadiriwa wataongeza mapato yatokanayo na kodi kwa kiwango cha TZS 1.5 bilioni kwa mwaka. Tags kitaifa Facebook Twitter