Kitaalamu Haya ndio Madhara ya Kuchora TATTOO

Tattoo ni utamaduni ambao asili yake ni kutoka mabara ya Ulaya, Amerika na Asia lakini kwa sasa hata hapa Tanzania umekuaja kwa kasi hasa kwa vijana.

Leo January 27, 2018 nakusogezea Daktari Bingwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dr. Heri Tungaraza ambaye ametufafanulia madhara yanayoweza kutokea kutokana na kuchora Tattoo.

VIDEO:

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post