Gari ndogo ya Abiria yaanguka Mto Wami (Pwani) ilkielekea Mkata

Mini bus iendayo Mkata yatumbukia kwenye mto Wami. Inasemekana watu watatu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa. Fahari News itawaletea taarifa zaidi kadiri zinavyotufikia.

Bado tunafuatilia kiundani zaidi ukweli wa Habari hii

Mpemba Blog....

Jishindie vocha kwa kudownload App yetu sasa

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post