Barakah Afunguka Alichozungumza na Tundu Lissu ‘Ni Mungu Alinisukuma’ (Video)


Baada ya kusambaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha muimbaji, Baraka The Prince akiwa amemtembelea hospitali Mhe. Tundu Lissu nchini Kenya, Bongo5 ilimtafuta muimbaji huyo ambaye ni rais ya label ya Bana Music na kueleza alichozungumza na Lissu baada ya kumtembelea hospitali hapo. 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post