Wazazi wa wanafunzi 55 kukamatwa kisa "Mimba" huko Tandahimba

TANDAHIMBA: Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya imegiza kukamatwa kwa Wazazi wa Wanafunzi 55 waliopata ujauzito na kuacha Shule miaka miwili iliyopita



 Agizo hili limetolewa ili iwe fundisho kwa Watu wengine Wilayani humo | Soma 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post